Utangulizi
Wamiliki wengi wa simu za blackberry wanaangaika sana baada ya kuona simu zao zimewekewa vifurushi maalum vya intaneti ambavyo mara nyingi huwa ni vya gharama sana.
Baada ya kumalizana na chapisho hili wale walio zichimbia simu zao chini
wataenda kuzifukua kwani kipindi hiki cha Raisi wetu Magufuli ni kigumu sana kwa mtu kutumia vifurushi hivyo maalum.
Huitaji ujuzi wa progamu yoyote ile wala kifurush chochote ili kufanikisha zoezi hili.
Maujanja